Ninafurahi kwa kutembelea kwako katika Blog yangu.
===========================================
Kupata matukio yote Bonyeza kiungia cha HOMEkilichpo chini ya Blog hii.
Friday, June 10, 2011
Wabunge
Mbunge wa Kigoma Kaskazini mheshimiwa Zitto Zuberi Kabwe akiwa na wabunge wenzake katika viwanja vya bunge mjini dodoma hivi karibuni ambapo wabunge wapo huko kuhudhuria vikao vya bunge la bajeti linaloendelea.
No comments:
Post a Comment