K A R I B U N I W O T E

Ninafurahi kwa kutembelea kwako katika Blog yangu.

===========================================

Kupata matukio yote Bonyeza kiungia cha HOME kilichpo chini ya Blog hii.



















Tuesday, June 12, 2012

Ajari ya helkopta - Kenya

Hivi ndivyo ilivyokuwa katika Ajari huko Kenya ambapo 
Mh. Saitoti na wenzake walivyopoteza maisha.
Serikali ya Kenya imetangaza siku tatu za maombelezi kufuatia
 msiba huo mkubwa na bendera zitapepea nusu mlingoti.

No comments:

Post a Comment