K A R I B U N I W O T E

Ninafurahi kwa kutembelea kwako katika Blog yangu.

===========================================

Kupata matukio yote Bonyeza kiungia cha HOME kilichpo chini ya Blog hii.



















Friday, February 11, 2011

KURA YA MAONI SUDAN KUSINI ILIKUWA YA UHURU NA HAKI- MKAPA

MWENYEKITI wa timu ya watu watatu iliyoteuliwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon kuangalia mchakato wa kura ya maoni Sudan Kusini, Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa akiwasilisha taarifa yake mbele ya Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa, jana, Ijumatano, kuhsu mchakato huo na matokeo ya kura. maataokeo ya mwsiho ya kura hiyo yaliyotangazwa Jumatatu wiki hii, yameonyesha kuwa asilimia 898.83 ya waliopiga kura wameafiki Sudani Kusini ijitenge na kuwa taifa jipya.

No comments:

Post a Comment