K A R I B U N I W O T E

Ninafurahi kwa kutembelea kwako katika Blog yangu.

===========================================

Kupata matukio yote Bonyeza kiungia cha HOME kilichpo chini ya Blog hii.



















Friday, February 11, 2011

TANESCO KUENDELEA NA MGAO WA UMEME

Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Umeme (Tanesco), Felchesmi Mramba, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusu hali halisi ya mgao wa umeme unaoendelea nchini, ambao unasababishwa na kuzidi kupungua kwa kina cha maji katika Bwawa la Mtera ambapo hupungua sentimita tatu kila siku. Kulia ni Meneja Uhusiano wa Shirika hilo, Badra Masoud.

No comments:

Post a Comment