K A R I B U N I W O T E

Ninafurahi kwa kutembelea kwako katika Blog yangu.

===========================================

Kupata matukio yote Bonyeza kiungia cha HOME kilichpo chini ya Blog hii.



















Thursday, March 10, 2011

Dawa inayotibu magonjwa sugu ikiwemo Ukimwi

Mchungaji Ambakisiye akitoa dozi ya kikombe kimoja kwa watu mbalimbali wanaosumbuliwa na magonjwa sugu
Mchungaji akitoa maelezo kwa watu mbalimbali wanasumbuliwa na magonjwa hayo juu ya huduma hiyo ya dawa inayosadikiwa kutibu baadhi ya magonjwa sugu ikiwemo Ukimwi.

Watu mbalimbali wakiwa wamelala baada ya kupatiwa dawa hiyo na mchungaji huyo.

Foleni kubwa na magari yakiwemo yale yanayotumiwa na watalii katika kufuata huduma hizo.

Foleni kubwa ikielekea kwa mchungaji huyo kufuata dawa hiyo inayosemekana kutibu magonjwa sugu.



No comments:

Post a Comment