Ninafurahi kwa kutembelea kwako katika Blog yangu.
===========================================
Kupata matukio yote Bonyeza kiungia cha HOMEkilichpo chini ya Blog hii.
Monday, September 26, 2011
Rais wa Tanzania New York - Marekani
Rais J. Kikwete akihutubia katika mkutano wa 66 wa Umoja wa mataifa - New York Marekani.
Raisi Kikwete akisalimiana na kiongozi wa Serikali ya mpito ya Libya Bwana Mustafa Abdel-Jalil wakiwa new york marekana walipokutana katika mkutano wa 66 wa U/Mataifa.
No comments:
Post a Comment