K A R I B U N I W O T E

Ninafurahi kwa kutembelea kwako katika Blog yangu.

===========================================

Kupata matukio yote Bonyeza kiungia cha HOME kilichpo chini ya Blog hii.



















Monday, September 26, 2011

Rais wa Tanzania New York - Marekani

Rais J. Kikwete akihutubia katika mkutano wa 66 wa Umoja wa mataifa - New York Marekani.
Raisi Kikwete akisalimiana na kiongozi wa Serikali ya mpito ya Libya Bwana Mustafa Abdel-Jalil wakiwa new york marekana walipokutana katika mkutano wa 66 wa U/Mataifa.

No comments:

Post a Comment