Juu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alipopokelewa na Waziri Mkuu na Makamu wa raisi katika uwanja wa Mwl Jk. Nyerere.
Chini raisi akiwa Nchini Ivory Coast na kupokelewana Alassana Outtara ambaye kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa ndiye mshindi halali wa uchaguzi uliofanyika nchini humo.
No comments:
Post a Comment