Raisi mstaafu wa Tanzania Mh. Ali H. Mwinyi akiwa mgeni rasmi katika utoaji wa tuzo kwa wanamichezo Bora wa mwaka 2011 katika ukumbi wa Diamond jubilee.
K A R I B U N I W O T E
Ninafurahi kwa kutembelea kwako katika Blog yangu.
===========================================
Kupata matukio yote Bonyeza kiungia cha HOME kilichpo chini ya Blog hii.
===========================================
Kupata matukio yote Bonyeza kiungia cha HOME kilichpo chini ya Blog hii.
Friday, June 15, 2012
Baada ya Kusoma Hotuba
Waziri wa fedha akipongezwa na wafanyakazi wa ofisi yake baada ya
kumaliza kwa kusomwa kwa Hotuba ya Bajeti 2012/2013
Waziri wa fedha na waandishi
Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali nami nikiwemo ktk kupata picha na Waziri wa fedha pamoja na Naibu wake nje ya viwanja vya bunge katika usomaji wa Hotuba ya Bajeti ya 2012/2013
Waziri wa fedha
Waziri wa Fedha wa Tanzania akiwa ameambatana na Naibu wake wakiingiza
katika viwanja vya Bunge tayari kwa kusoma Bajeti ya 2012/2013
Kiongozi wa kambi ya Upinzani Bungeni
Kiongozi wa kambi ya upinzania bungeni Mh. F. Mbowe akimuuliza waziri mkuu
katika utaratibu aliojiwekea wa kuulizwa maswali ya papo kwa papo.
Tuesday, June 12, 2012
Rambirambi za Marehemu Bob Makani
viongozi wa kitaifa katika msiba wa Bob makani
Viongozi wakiwasili katika viwanja vya karimjee
Raisi wa Tanzania akimpa pole katibu mkuu wa Chadema Dr. Slaa
katika viwanja hivyo vya karimjee dsm.
Ajari ya helkopta - Kenya
Hivi ndivyo ilivyokuwa katika Ajari huko Kenya ambapo
Mh. Saitoti na wenzake walivyopoteza maisha.
Serikali ya Kenya imetangaza siku tatu za maombelezi kufuatia
msiba huo mkubwa na bendera zitapepea nusu mlingoti.
Friday, June 8, 2012
Kutiliana saini ya Mkataba
Bw. John Haule (Kulia) akiwa na Balozi wa ujerumani hapa nchini wakisaini
Mkataba kwa niaba ya serikali zao.
BREAKING NEWSSSSSSSSSSSSSS
Aliye wahi kuwa Kocha wa Timu ya Taifa ya Tanzania Marcio Maximo inasemakana hivi karibuni atakuja nchini kuwa kocha wa Timu ya YANGA.
Monday, September 26, 2011
Ajari Ajari
Taarab
Rais wa Tanzania New York - Marekani
Friday, June 10, 2011
Bajeti ya Tanzania
Wabunge
Thursday, March 10, 2011
Raisi J. Kikwete awasili Addis Ababa
Pikipi za gurudumu tatu zikizinduliwa
Dawa inayotibu magonjwa sugu ikiwemo Ukimwi
Subscribe to:
Posts (Atom)